Tender Loan

Walengwa

Wafanyabiashara wa kati na wakubwa katika maeneo ya Dar-es-Salaam na Dodoma

Viwango vya Mkopo

TZS 5M – TZS 50M

Lengo la Mkopo

Pesa ya kuendesha biashara kununua malighafi na mahitaji mengine ya kuendesha na kukuza biashara.

Muda wa Mkopo

Sio zaidi ya Miezi 6

Rejesho

Kila mwezi

Dhamana na Gharama za mkopo

  • Usajili wa mkopo
  • Gari iliyopo katika ubora unaoridhisha na ina bima kubwa.
  • Tunakopea 3rd party dhamana kutoka kwa mdhamini wako pia.
  • Nyumba/kiwanja kilicho endelezwa na zenye hati rasmi au leseni ya Makazi (mortgage itafanyika).
  • Ada ya kuratibu mkopo ni 3% inayolipwa wakati wa kuchukua mkopo
  • Ufungaji wa Car Track

Viambatanisho kwenye maombi ya mkopo

  • Fomu ya ombi la mkopo lililojazwa kikamilifu
  • Kitambulisho (copy ya kitambulisho cha uraia, kura, passport au udereva)
  • Barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa (nyumbani na biashara)
  • Idhini ya Mwenzi wa ndoa (ambatanisha cheti cha ndoa au kiapo (AFFIDAVIT) kama huna ndoa
  • Mkataba wa udhamini (Endapo Mkopaji hana makazi ya Kudumu Dar au Dodoma, ni sharti adhaminiwe na mtu mwenye makazi ya kudumu, ambatanisha bili za maji au umeme)
  • Uthibitisho wa eneo la Biashara (Mkataba wa kupanga au uthibitisho wa umiliki (bill za maji au umeme)
  • Uthibitisho wa uzoefu wa biashara usiopungua miezi 12 (Leseni ya Biashara, TIN namba au Tax Clearance, bank statement isiyopungua miezi 6)
  • Taarifa ya mapato na matumizi zinazoonyesha historia ya biashara
  • Uthibitisho wa mapato mengine ikiwa kama yapo
  • Mkataba wa mradi

Kwa Mkopo
wa haraka!

Wasiliana nasi kwa mkopo wa haraka zaidi, ndani ya masaa 48 tu!

Pata Mkopo ndani ya Masaa 48 tu!